YANGA KUIKABILI SIMBA SC KWENYE FAINALI YA CRDB BANK FEDERATION CUP DHIDI YA AZAM FC
Mashabiki wa soka nchini wajiandae kwa burudani ya aina yake visiwani Zanzibar, Kauli ya hivi punde ya Meneja wa Habari wa Yanga, ALI KAMWE, imethibitisha kuwa fainali ya Kombe la Shirikisho la CRDB kati ya Simba SC na Azam FC haitakuwa ya kawaida hata kidogo.
Baada ya yanga kukwama kwenye nusu fainali ya CRDB, ali kamwe amesimama na kuzungumza kuwa "sisi yanga tutaisapoti azam fc kwenye fainali ya CRDB huko ZANZIBAR PEMBA kwenye uwanja wa Gombani, kuelekea fainali hiyo mashabiki wa yanga wataungana na azam fc kuhakikisha azam fc inabeba kombe.
Utani wa jadi bado unazidi kukua siku hadi siku na sasa upinza huu umegeukia kwa mashabiki, tunategemea kuja kutazama mchezo mzuri na wenye burudani ukiwa na pande mbili za ushindani , huku timu ya azam Fc vs simba sc na kw mashabiki ni yanga wakiungana na azam fc vs mashabiki wa Simba SC.
Hali hii kwa timu ya simba inapelekea kusongwa na seheme kubwa ya upinzani kwenye fainali, ikiwata simba kujiandaa kisaikolojia kwa sababu wanakutana na mechi ngumu mbili ikiwa mechi ya uwanjani na mechi nje ya uwanja.
Kwa wewe mashabiki na mpenzi mtazaji hali hii itaisaidai azam kuwa bingwa wa mashindano hayo ya CRDB au watawaachia simba ?
Na kwa upande wa simba kwa vitisho hivyo vya wapinzani wao wa jadi itapelekea kushindwa kuchukua kombe ? Shusha comment yako hapo chini 👇 👇👇
#CRDBBankFederationCup #SimbaSC #AzamFC #YangaSC #AliKamwe #SokaLaBongo #UwanjaWaGombani #Zanzibar #NguvuMoja #HabariZaMichezo #Ligikuu

Comments
Post a Comment
Maoni yako ni muhimu kwetu! Unafikiri nini kuhusu mchezo au tetesi hii ya leo? Shusha mchango wako hapa chini. Kumbuka: Lugha ya staha na heshima kwa wadau wote wa soka inazingatiwa.