LIONEL MESSI afanya Maajabu Tena! Avunja Rekodi ya Dunia Kwenye Mechi ya Leo na Kuongoza Chati za FIFA
💯Mashabiki wamezidi tena kujionea leo Messi kuandika historia mpya kwenye ulimwengu wa soka leo baada ya kuiongoza Argentina kupata ushindi mnono wa magoli 2-0 dhidi ya Austria katika hatua ya makundi ya Kombe la Dunia 2026.
Katika mechi hiyo kali iliyopigwa leo Juni 22, 2026, nahodha huyo wa Argentina amefunga mabao yote mawili na kuihakikishia timu yake nafasi ya kutinga hatua ya 32 bora.
⚽️Messi baada ya kukosa penalti mwanzoni mwa mchezo, alirejea kwa kishindo na kufunga magoli mawili, goli la kwanza dakiki ya 38 na goli la pili dakika ya 90+4 nakuipatia timu yake ushindi🏅 mnono.
Messi amevunja record ya mastar wa kubwa waliopita kwenye KOMBE LA DUNIA baada ya kufunga magoli leo mawili nakufikisha magoli 18 toka yameanzishwa mashindano ya KOMBE LA DUNIA.
Takwimu za Messi baada ya mchezo huu kumalizika kwa Sasa Kufuatia kiwango hicho safi alichoonyesha leo na hat-trick aliyopiga kwenye mechi iliyopita dhidi ya Algeria, nafasi za Lionel Messi zimepanda kwa kasi, Lionel Messi kwa sasa anashika Namba 1 kama mchezaji mwenye kiwango bora zaidi kutokana na mashindano haya ya KOMBE LA DUNIA.
Ushindi wa leo unaiweka 🆙️Argentina 🇦🇷 kileleni mwa msimamo ikiwa na alama 6.
Je, unaona Messi ataweza kuiongoza Argentina kutetea ubingwa huu wa dunia? Tuandikie maoni yako hapa chini!👇👇👇
Comments
Post a Comment
Maoni yako ni muhimu kwetu! Unafikiri nini kuhusu mchezo au tetesi hii ya leo? Shusha mchango wako hapa chini. Kumbuka: Lugha ya staha na heshima kwa wadau wote wa soka inazingatiwa.