Burudani inarejea, MZIZIMA DERBY
Ile mechi tuliyokuwa tukiisubiri kwa hamu sasa imewadia. Inawakutanisha wababe wa soka Dar es salaam na Tanzania kwa ujumla. Hapa tunawazungumzia YOUNG AFRICANS wakiwakaribisha AZAM FC. Mechi itapigwa kwenye uwanja wa KMC COMPLEX uliopo Kinondoni, Dar es Salaam.
Mchezo huu utapigwa siku ya Jumatano 24 June 2026, majira ya saa10:00 jioni.


Comments
Post a Comment
Maoni yako ni muhimu kwetu! Unafikiri nini kuhusu mchezo au tetesi hii ya leo? Shusha mchango wako hapa chini. Kumbuka: Lugha ya staha na heshima kwa wadau wote wa soka inazingatiwa.