DAU NONO: Azam FC Yamfunga Mkataba Mrefu Winga Iddy Nado Kuzima 'Mind Games'
Uongozi wa Azam FC chini ya maelekezo ya Kocha Mkuu Florent Ibenge, umekamilisha taratibu za kumpa winga huyo mkataba mpya na mnono wa kuendelea kusalia klabuni hapo. Kocha Ibenge amesisitiza kuwa katika mikakati yake mipya, hakuna mchezaji yeyote muhimu atakayeruhusiwa kuondoka kwa sasa. Hatua hii inatajwa kuzima mbinu za kisaikolojia (mind games) zilizokuwa zikitumiwa na wapinzani wao wakati wa kuelekea mechi muhimu za CRDB Bank Federation Cup.

Congratulations for your couch
ReplyDelete