Wachezaji bora kwenye ligi kuu ya NBC Premier League
Ligi kuu Tanzania, NBC premier league mpaka sasa top 1-3 inashikiriwa na wachezaji hatari🔥, wenye utaaramu wa mpira⚽️, akili ya mpira, na ubora wa juu💯. 📊 Jedwali la Takwimu (Msimu wa 2025/2026)
Mchezaji. Feitoto
Timu. Azam Fc Mabao. 14
Mchezaji Clatous Chama Timu. Simba SC. Mabao. 8. Pasi za Goli (Assists) 9.
Feitoto ⚽️,' mfungaji na mwenye mashuti ya mbali
Allan Okello💯,' mwenye chenga na kasi
Clatous Chama🫀,' mwenye pasi za mwisho na utulivu
UZA MMOJA, MMOJA AANZE MECHI NA MMOJA ABAKI BENCHI ?



Comments
Post a Comment
Maoni yako ni muhimu kwetu! Unafikiri nini kuhusu mchezo au tetesi hii ya leo? Shusha mchango wako hapa chini. Kumbuka: Lugha ya staha na heshima kwa wadau wote wa soka inazingatiwa.