TAZAMA LIVE: Kauli ya Hasheem Ibwe Kuhusu Azam FC Kuingia Kambini Kesho na Siri ya Pre-Season!
Afisa Habari wa Azam FC, Hasheem Ibwe, ametoa ufafanuzi wa kina kuhusu ratiba ya kambi ya matajiri hao wa Chamazi inayotarajiwa kuanza rasmi kesho Jumatatu, Julai 27, 2026. Katika taarifa hiyo, Ibwe ameweka wazi sababu za kiufundi zilizomfanya Kocha Mkuu Florent Ibenge kuzuia timu hiyo kushiriki mashindano yoyote ya kujiandaa na msimu (pre-season) na badala yake kuchagua mechi za kirafiki za ndani. Bofya video hii hapa chini kumsikiliza akifunguka kila kitu.
Comments
Post a Comment
Maoni yako ni muhimu kwetu! Unafikiri nini kuhusu mchezo au tetesi hii ya leo? Shusha mchango wako hapa chini. Kumbuka: Lugha ya staha na heshima kwa wadau wote wa soka inazingatiwa.